Ayubu 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Jueni, basi, kwamba Mungu mwenyewe amenipotosha,Naye ameuzungusha wavu wake wa kuwindia juu yangu.+ Hosea 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Njia yoyote ile wanayoiendea, nitatandaza juu yao wavu wangu.+ Nitawashusha chini kama viumbe vinavyoruka vya mbinguni.+ Nitawatia nidhamu kulingana na habari iliyopelekwa kwenye kusanyiko lao.+
6 Jueni, basi, kwamba Mungu mwenyewe amenipotosha,Naye ameuzungusha wavu wake wa kuwindia juu yangu.+
12 “Njia yoyote ile wanayoiendea, nitatandaza juu yao wavu wangu.+ Nitawashusha chini kama viumbe vinavyoruka vya mbinguni.+ Nitawatia nidhamu kulingana na habari iliyopelekwa kwenye kusanyiko lao.+