12 Mwishowe Yehoyakini mfalme wa Yuda akatoka kumwendea mfalme wa Babiloni,+ yeye pamoja na mama+ yake na watumishi wake na wakuu wake na maofisa wake wa makao ya mfalme; na mfalme wa Babiloni akamchukua katika mwaka wake wa nane+ wa kuwa mfalme.
11 Mwishowe Yehova akaleta juu yao+ wakuu wa jeshi la mfalme wa Ashuru,+ nao wakamteka Manase katika mashimo+ na kumfunga+ kwa pingu mbili za shaba, wakampeleka Babiloni.
12 “Iambie, tafadhali, nyumba yenye kuasi,+ ‘Je, ninyi kwa kweli hamjui maana ya mambo haya?’ Sema, ‘Tazama! Mfalme wa Babiloni alikuja Yerusalemu, akamchukua mfalme wake+ na wakuu wake na kuwaleta Babiloni kwa ajili yake.+