Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mwishowe Yehoyakini mfalme wa Yuda akatoka kumwendea mfalme wa Babiloni,+ yeye pamoja na mama+ yake na watumishi wake na wakuu wake na maofisa wake wa makao ya mfalme; na mfalme wa Babiloni akamchukua katika mwaka wake wa nane+ wa kuwa mfalme.

  • 2 Wafalme 25:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo wakamkamata mfalme+ na kumleta kwa mfalme wa Babiloni kule Ribla,+ ili watangaze uamuzi wa hukumu juu yake.

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mwishowe Yehova akaleta juu yao+ wakuu wa jeshi la mfalme wa Ashuru,+ nao wakamteka Manase katika mashimo+ na kumfunga+ kwa pingu mbili za shaba, wakampeleka Babiloni.

  • Ezekieli 17:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Iambie, tafadhali, nyumba yenye kuasi,+ ‘Je, ninyi kwa kweli hamjui maana ya mambo haya?’ Sema, ‘Tazama! Mfalme wa Babiloni alikuja Yerusalemu, akamchukua mfalme wake+ na wakuu wake na kuwaleta Babiloni kwa ajili yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki