7 ‘Na baadhi ya wana wako mwenyewe watakaotoka kwako ambao utawazaa, watachukuliwa+ na kuwa maofisa wa makao ya mfalme+ katika jumba la mfalme wa Babiloni.’”+
32 Naye akaanza kusema naye mambo mema na kukiweka kiti chake cha ufalme juu zaidi ya vile viti vya wafalme wengine waliokuwa pamoja naye katika Babiloni.+