Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 58:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ingawa hivyo siku baada ya siku waliendelea kunitafuta mimi, nao wakawa wakionyesha kupendezwa kuzijua njia zangu,+ kama taifa lililoendeleza uadilifu na ambalo halikuwa limeiacha haki ya Mungu wao,+ kwa kuwa waliendelea kuniomba hukumu za uadilifu, wakimkaribia Mungu ambaye walipendezwa naye,+

  • Yohana 8:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na bado ikiwa ninahukumu, hukumu yangu ni ya kweli, kwa sababu siko peke yangu, bali Baba aliyenituma yuko pamoja nami.+

  • Waebrania 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana tuna kuhani mkuu, si mtu ambaye hawezi kuusikitikia+ udhaifu wetu, bali yeye ambaye amejaribiwa katika mambo yote kama sisi wenyewe, lakini bila kuwa na dhambi.+

  • Waebrania 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa maana kila kuhani mkuu anayechukuliwa kutoka kati ya wanadamu huwekwa rasmi kwa ajili ya wanadamu juu ya mambo yanayohusiana na Mungu,+ ili atoe zawadi na dhabihu kwa ajili ya dhambi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki