Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nanyi mnaponyoosha mikono yenu,+ mimi huficha macho yangu kutoka kwenu.+ Hata mjapotoa sala nyingi,+ mimi sisikilizi;+ mikono yenu imejaa umwagaji wa damu.+

  • Yeremia 42:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 na kumwambia Yeremia nabii: “Tafadhali, ombi letu la kutaka kibali na lifike mbele yako, nawe usali kwa ajili yetu kwa Yehova Mungu wako,+ kwa ajili ya mabaki hawa wote, kwa maana tumeachwa mabaki, wachache kati ya wengi,+ kama macho yako yanavyotuona.

  • Yeremia 42:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 kwamba mmetenda kosa juu ya nafsi zenu;+ kwa maana ninyi wenyewe mmenituma kwa Yehova Mungu wenu, mkisema, ‘Sali kwa ajili yetu kwa Yehova Mungu wetu; nawe utuambie kulingana na kila jambo ambalo Yehova Mungu wetu atasema, nasi hakika tutafanya.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki