Yeremia 42:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 kwamba kosa lenu litawagharimu uhai wenu.* Kwa maana mlinituma kwa Yehova Mungu wenu, mkisema, ‘Sali kwa ajili yetu kwa Yehova Mungu wetu, nawe utuambie kila jambo ambalo Yehova Mungu wetu anasema, nasi tutalifanya.’+
20 kwamba kosa lenu litawagharimu uhai wenu.* Kwa maana mlinituma kwa Yehova Mungu wenu, mkisema, ‘Sali kwa ajili yetu kwa Yehova Mungu wetu, nawe utuambie kila jambo ambalo Yehova Mungu wetu anasema, nasi tutalifanya.’+