20 kwamba mmetenda kosa juu ya nafsi zenu;+ kwa maana ninyi wenyewe mmenituma kwa Yehova Mungu wenu, mkisema, ‘Sali kwa ajili yetu kwa Yehova Mungu wetu; nawe utuambie kulingana na kila jambo ambalo Yehova Mungu wetu atasema, nasi hakika tutafanya.’+