13 Na Yehova anasema: “Kwa sababu watu hawa wamekaribia na vinywa vyao, nao wamenitukuza kwa midomo yao mitupu,+ nao wameupeleka moyo wao mbali nami,+ na woga wao kwangu ni amri ya wanadamu inayofundishwa,+
32 Na, tazama! kwao wewe ni kama wimbo wa mapendo yenye hisia, kama mtu mwenye sauti nzuri na mwenye kupiga kinanda vizuri.+ Nao hakika watayasikia maneno yako, lakini hakuna yeyote anayeyatenda.+