Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 15:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Dhabihu ya waovu ni chukizo kwa Yehova,+ lakini sala ya wanyoofu ni furaha kwake.+

  • Isaya 29:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na Yehova anasema: “Kwa sababu watu hawa wamekaribia na vinywa vyao, nao wamenitukuza kwa midomo yao mitupu,+ nao wameupeleka moyo wao mbali nami,+ na woga wao kwangu ni amri ya wanadamu inayofundishwa,+

  • Ezekieli 33:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Na, tazama! kwao wewe ni kama wimbo wa mapendo yenye hisia, kama mtu mwenye sauti nzuri na mwenye kupiga kinanda vizuri.+ Nao hakika watayasikia maneno yako, lakini hakuna yeyote anayeyatenda.+

  • Mathayo 15:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 ‘Watu hawa huniheshimu kwa midomo yao, bali moyo wao umepelekwa mbali nami.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki