Marko 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana Herode alikuwa akimwogopa+ Yohana, na alimjua kuwa mtu mwadilifu na mtakatifu;+ naye alikuwa akimlinda. Na baada ya kumsikia+ akawa hajui kabisa la kufanya, lakini aliendelea kumsikia kwa furaha.
20 Kwa maana Herode alikuwa akimwogopa+ Yohana, na alimjua kuwa mtu mwadilifu na mtakatifu;+ naye alikuwa akimlinda. Na baada ya kumsikia+ akawa hajui kabisa la kufanya, lakini aliendelea kumsikia kwa furaha.