Methali 12:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Udanganyifu umo moyoni mwa wale wanaotunga madhara,+ lakini wale wanaoshauri amani wanashangilia.+ Methali 14:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Je, wale wanaotunga madhara hawatatanga-tanga?+ Lakini kuna fadhili zenye upendo na ukweli kwa wale wanaotunga mema.+ Methali 16:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Anakonyeza-konyeza macho yake ili kupanga hila.+ Akikaza midomo yake, hakika yeye hukamilisha madhara. Methali 24:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yeyote anayepanga hila ya kufanya ubaya ataitwa fundi wa mawazo ya uovu.+
20 Udanganyifu umo moyoni mwa wale wanaotunga madhara,+ lakini wale wanaoshauri amani wanashangilia.+
22 Je, wale wanaotunga madhara hawatatanga-tanga?+ Lakini kuna fadhili zenye upendo na ukweli kwa wale wanaotunga mema.+
30 Anakonyeza-konyeza macho yake ili kupanga hila.+ Akikaza midomo yake, hakika yeye hukamilisha madhara.