Zaburi 35:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wale ambao ni adui zangu bila sababu yoyote wasishangilie juu yangu;+Nao wale wanaonichukia bila sababu, wasikonyeze jicho.+ Methali 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 akikonyeza kwa jicho lake,+ akifanya ishara kwa mguu wake, na kuonyesha alama kwa vidole vyake.+
19 Wale ambao ni adui zangu bila sababu yoyote wasishangilie juu yangu;+Nao wale wanaonichukia bila sababu, wasikonyeze jicho.+