Zaburi 35:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wale ambao ni adui zangu bila sababu yoyote wasishangilie juu yangu;+Nao wale wanaonichukia bila sababu, wasikonyeze jicho.+ Methali 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Anayekonyeza jicho lake atatokeza maumivu,+ na mwenye midomo ya upumbavu atakanyagiwa chini.+ Methali 16:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Anakonyeza-konyeza macho yake ili kupanga hila.+ Akikaza midomo yake, hakika yeye hukamilisha madhara.
19 Wale ambao ni adui zangu bila sababu yoyote wasishangilie juu yangu;+Nao wale wanaonichukia bila sababu, wasikonyeze jicho.+
30 Anakonyeza-konyeza macho yake ili kupanga hila.+ Akikaza midomo yake, hakika yeye hukamilisha madhara.