Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 21:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana wamekuelekezea mabaya;+

      Wametunga mawazo wasiyoweza kutimiza.+

  • Methali 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Upotovu umo moyoni mwake.+ Anatunga jambo baya wakati wote.+ Huendelea kutokeza ugomvi.+

  • Methali 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mtu mwema hupata kibali kutoka kwa Yehova,+ lakini yeye humtangaza mtu mwenye mawazo maovu kuwa mwovu.+

  • Waroma 1:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 wasengenyaji,+ wenye kumchukia Mungu, wenye dharau,+ wenye majivuno,+ wenye kujidai,+ wenye kutunga mambo mabaya,+ wasiotii wazazi,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki