Zaburi 21:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana wamekuelekezea mabaya;+Wametunga mawazo wasiyoweza kutimiza.+ Methali 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Upotovu umo moyoni mwake.+ Anatunga jambo baya wakati wote.+ Huendelea kutokeza ugomvi.+ Methali 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mtu mwema hupata kibali kutoka kwa Yehova,+ lakini yeye humtangaza mtu mwenye mawazo maovu kuwa mwovu.+ Waroma 1:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 wasengenyaji,+ wenye kumchukia Mungu, wenye dharau,+ wenye majivuno,+ wenye kujidai,+ wenye kutunga mambo mabaya,+ wasiotii wazazi,+
2 Mtu mwema hupata kibali kutoka kwa Yehova,+ lakini yeye humtangaza mtu mwenye mawazo maovu kuwa mwovu.+
30 wasengenyaji,+ wenye kumchukia Mungu, wenye dharau,+ wenye majivuno,+ wenye kujidai,+ wenye kutunga mambo mabaya,+ wasiotii wazazi,+