Zaburi 112:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa kuwa hatatikiswa kamwe.+ ל [Laʹmedh]Mwadilifu atakuwa kumbukumbu mpaka wakati usio na kipimo.+ Methali 15:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Njia ya mwovu ni chukizo kwa Yehova,+ lakini humpenda mtu anayefuatilia uadilifu.+