Methali 21:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Anayefuatilia uadilifu+ na fadhili zenye upendo atapata uzima, uadilifu na utukufu.+ Isaya 26:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Pito la mwadilifu ni unyoofu.+ Kwa kuwa wewe ni mnyoofu, utaifanya njia ya mwadilifu kuwa laini.+ Yohana 3:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Baba humpenda Mwana+ naye ametia vitu vyote mkononi mwake.+