Methali 15:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Njia ya mwovu ni chukizo kwa Yehova,+ lakini humpenda mtu anayefuatilia uadilifu.+ Mathayo 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Wenye furaha ni wale walio na njaa na walio na kiu+ kwa ajili ya uadilifu, kwa kuwa watashibishwa.+ Waebrania 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Fuatilieni amani pamoja na watu wote,+ na utakaso+ ambao bila huo hakuna mtu atakayemwona Bwana,+
6 “Wenye furaha ni wale walio na njaa na walio na kiu+ kwa ajili ya uadilifu, kwa kuwa watashibishwa.+