Zaburi 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana Yehova anaijua njia ya waadilifu,+Bali njia ya waovu itaangamia.+ Zaburi 146:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova anawalinda wakaaji wageni;+Humtuliza mvulana asiye na baba na mjane,+Lakini njia+ ya waovu yeye huipotosha.+ Mathayo 7:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Ingieni kupitia lango jembamba;+ kwa sababu barabara inayoongoza kwenye uharibifu ni pana na kubwa, na wengi ndio wanaoipitia;
9 Yehova anawalinda wakaaji wageni;+Humtuliza mvulana asiye na baba na mjane,+Lakini njia+ ya waovu yeye huipotosha.+
13 “Ingieni kupitia lango jembamba;+ kwa sababu barabara inayoongoza kwenye uharibifu ni pana na kubwa, na wengi ndio wanaoipitia;