Methali 26:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa midomo yake, mtu mwenye chuki hujificha asitambuliwe, lakini ndani yake huweka udanganyifu.+ Danieli 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi wanaume hao wakasema: “Hatutapata kisingizio chochote juu ya Danieli huyu, isipokuwa tukitafute juu yake katika sheria ya Mungu wake.”+ Marko 7:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mambo hayo yote maovu hutoka ndani nayo humtia mtu unajisi.”+
5 Basi wanaume hao wakasema: “Hatutapata kisingizio chochote juu ya Danieli huyu, isipokuwa tukitafute juu yake katika sheria ya Mungu wake.”+