27 na kusema: “Abarikiwe Yehova+ Mungu wa bwana wangu Abrahamu, ambaye hakuacha fadhili zake zenye upendo na kuwa mwenye kutegemeka kumwelekea bwana wangu. Mimi nikiwa njiani, Yehova ameniongoza kwenye nyumba ya ndugu za bwana wangu.”+
10 Na Yehova akaigeuza hali ya mateka ya Ayubu+ aliposali kwa ajili ya wale rafiki zake,+ na Yehova akaanza kumpa na kumwongezea Ayubu vyote vilivyokuwa vyake, kiasi cha mara mbili.+