2 Wafalme 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa hiyo Yehoshafati akasema:+ “Je, hakuna nabii wa Yehova hapa?+ Basi na tumuulize Yehova kupitia yeye.”+ Na mmoja wa watumishi wa mfalme wa Israeli akajibu na kusema: “Pana Elisha+ mwana wa Shafati, aliyemimina maji juu ya mikono ya Eliya.”+ 2 Mambo ya Nyakati 18:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini Yehoshafati akasema: “Je, hayupo hapa tena nabii wa Yehova?+ Basi na tuulize kupitia yeye.”+
11 Kwa hiyo Yehoshafati akasema:+ “Je, hakuna nabii wa Yehova hapa?+ Basi na tumuulize Yehova kupitia yeye.”+ Na mmoja wa watumishi wa mfalme wa Israeli akajibu na kusema: “Pana Elisha+ mwana wa Shafati, aliyemimina maji juu ya mikono ya Eliya.”+
6 Lakini Yehoshafati akasema: “Je, hayupo hapa tena nabii wa Yehova?+ Basi na tuulize kupitia yeye.”+