9 Na ikawa katika mwaka wa nne wa Mfalme Hezekia, yaani, mwaka wa saba wa Hoshea+ mwana wa Ela mfalme wa Israeli, kwamba Shalmanesa+ mfalme wa Ashuru akapanda kuja juu ya Samaria, akaanza kulizingira.+
14 Na fujo imetokea kati ya watu wako,+ na majiji yako yenye ngome yataporwa yote,+ kama vile Shalmani alivyopora nyumba ya Arbeli, katika siku ya pigano ambapo mama mmoja alivunjwa vipande-vipande kando ya wanawe.+