Amosi 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Jiji linaloenda vitani likiwa na watu elfu moja litabaki na watu mia moja;Na lile linaloenda vitani na watu mia moja litabaki na watu kumi, hili linahusu nyumba ya Israeli.’+
3 “Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Jiji linaloenda vitani likiwa na watu elfu moja litabaki na watu mia moja;Na lile linaloenda vitani na watu mia moja litabaki na watu kumi, hili linahusu nyumba ya Israeli.’+