27 Yehova atawatawanya miongoni mwa mataifa,+ na ni watu wachache tu kati yenu watakaookoka+ miongoni mwa mataifa ambayo Yehova atawafukuza ninyi mwende miongoni mwao.
62 Ingawa mmekuwa wengi sana kama nyota za mbinguni,+ ni wachache sana miongoni mwenu watakaobaki,+ kwa sababu hamkuisikiliza sauti ya Yehova Mungu wenu.