2 Wafalme 17:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na mfalme wa Ashuru akapanda kuja juu ya nchi yote na kupanda kuja mpaka Samaria, akalizingira+ kwa miaka mitatu. 2 Mambo ya Nyakati 32:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Je, ninyi hamjui yale ambayo mimi mwenyewe na mababu zangu tulivitendea vikundi vyote vya watu wa nchi?+ Je, miungu+ ya mataifa ya zile nchi iliweza kukomboa hata kidogo nchi yao kutoka mkononi mwangu? Isaya 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 je, haitakuwa kwamba kama vile nilivyolitendea Samaria na miungu yake isiyo na thamani,+ ndivyo nitakavyolitendea Yerusalemu na sanamu zake?’+
5 Na mfalme wa Ashuru akapanda kuja juu ya nchi yote na kupanda kuja mpaka Samaria, akalizingira+ kwa miaka mitatu.
13 Je, ninyi hamjui yale ambayo mimi mwenyewe na mababu zangu tulivitendea vikundi vyote vya watu wa nchi?+ Je, miungu+ ya mataifa ya zile nchi iliweza kukomboa hata kidogo nchi yao kutoka mkononi mwangu?
11 je, haitakuwa kwamba kama vile nilivyolitendea Samaria na miungu yake isiyo na thamani,+ ndivyo nitakavyolitendea Yerusalemu na sanamu zake?’+