Isaya 36:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Iko wapi miungu ya Hamathi+ na Arpadi?+ Iko wapi miungu ya Sefarvaimu?+ Na je, imekomboa Samaria kutoka mkononi mwangu?+ Isaya 37:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Je, miungu+ ya mataifa ambayo mababu zangu waliharibu imeyakomboa,+ naam, Gozani+ na Harani+ na Resefu na wana wa Edeni+ waliokuwa katika Tel-asari? Yeremia 16:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Je, mtu wa udongo anaweza kujifanyia miungu wakati hiyo si miungu?+ 1 Wakorintho 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+
19 Iko wapi miungu ya Hamathi+ na Arpadi?+ Iko wapi miungu ya Sefarvaimu?+ Na je, imekomboa Samaria kutoka mkononi mwangu?+
12 Je, miungu+ ya mataifa ambayo mababu zangu waliharibu imeyakomboa,+ naam, Gozani+ na Harani+ na Resefu na wana wa Edeni+ waliokuwa katika Tel-asari?
4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+