2 Wafalme 18:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Je, kila mmoja wa miungu ya mataifa ameikomboa+ kwa vyovyote nchi yake mwenyewe kutoka mkononi mwa mfalme wa Ashuru?+ 2 Wafalme 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nao wameiteketeza miungu yao kwa moto, kwa sababu hiyo haikuwa miungu,+ bali kazi ya mikono ya mwanadamu,+ miti na mawe; hivi kwamba wakaiharibu. Zaburi 115:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wale wanaozifanya watakuwa kama hizo,+Wale wote wanaozitegemea.+ Isaya 44:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Msiwe na hofu, wala msishangazwe.+ Je, tangu wakati huo mimi sikuwafanya ninyi mmoja mmoja myasikie na kuyatangaza?+ Nanyi ni mashahidi wangu.+ Je, kuna Mungu zaidi ya mimi?+ Hapana, hakuna Mwamba.+ Sikumtambua yeyote.’”
33 Je, kila mmoja wa miungu ya mataifa ameikomboa+ kwa vyovyote nchi yake mwenyewe kutoka mkononi mwa mfalme wa Ashuru?+
18 Nao wameiteketeza miungu yao kwa moto, kwa sababu hiyo haikuwa miungu,+ bali kazi ya mikono ya mwanadamu,+ miti na mawe; hivi kwamba wakaiharibu.
8 Msiwe na hofu, wala msishangazwe.+ Je, tangu wakati huo mimi sikuwafanya ninyi mmoja mmoja myasikie na kuyatangaza?+ Nanyi ni mashahidi wangu.+ Je, kuna Mungu zaidi ya mimi?+ Hapana, hakuna Mwamba.+ Sikumtambua yeyote.’”