Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 18:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Je, kila mmoja wa miungu ya mataifa ameikomboa+ kwa vyovyote nchi yake mwenyewe kutoka mkononi mwa mfalme wa Ashuru?+

  • 2 Wafalme 19:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nao wameiteketeza miungu yao kwa moto, kwa sababu hiyo haikuwa miungu,+ bali kazi ya mikono ya mwanadamu,+ miti na mawe; hivi kwamba wakaiharibu.

  • Zaburi 115:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Wale wanaozifanya watakuwa kama hizo,+

      Wale wote wanaozitegemea.+

  • Isaya 44:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Msiwe na hofu, wala msishangazwe.+ Je, tangu wakati huo mimi sikuwafanya ninyi mmoja mmoja myasikie na kuyatangaza?+ Nanyi ni mashahidi wangu.+ Je, kuna Mungu zaidi ya mimi?+ Hapana, hakuna Mwamba.+ Sikumtambua yeyote.’”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki