Zaburi 115:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sanamu zao ni fedha na dhahabu,+Kazi ya mikono ya mtu wa udongo.+ Yeremia 10:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana desturi za vikundi vya watu+ ni pumzi tu, kwa sababu ni mti+ tu ambao mtu amekata kutoka msituni, kazi ya mikono ya fundi mwenye tezo.+ Matendo 17:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Kwa hiyo, kwa kuwa sisi ni uzao wa Mungu,+ hatupaswi kuwazia kwamba Mungu+ ni kama dhahabu au fedha au jiwe, kama kitu kilichochongwa kwa ufundi na mtungo wa mwanadamu.+
3 Kwa maana desturi za vikundi vya watu+ ni pumzi tu, kwa sababu ni mti+ tu ambao mtu amekata kutoka msituni, kazi ya mikono ya fundi mwenye tezo.+
29 “Kwa hiyo, kwa kuwa sisi ni uzao wa Mungu,+ hatupaswi kuwazia kwamba Mungu+ ni kama dhahabu au fedha au jiwe, kama kitu kilichochongwa kwa ufundi na mtungo wa mwanadamu.+