14 Na kana kwamba ni kiota, mkono wangu+ utafikia mali+ za vikundi vya watu; na kama mtu anapokusanya mayai ambayo yamebaki, ndivyo nitakavyoikusanya hata dunia yote, na hakika hakuna yeyote atakayetikisa mabawa yake wala kufungua kinywa chake wala kunong’oneza.’”