Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 15:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Katika siku za Peka mfalme wa Israeli, Tiglath-pileseri+ mfalme wa Ashuru+ aliingia na kuchukua Iyoni+ na Abel-beth-maaka+ na Yanoa na Kedeshi+ na Hasori+ na Gileadi+ na Galilaya,+ nchi yote ya Naftali,+ akawachukua na kuwapeleka uhamishoni katika Ashuru.+

  • 2 Wafalme 17:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na mfalme wa Ashuru akapanda kuja juu ya nchi yote na kupanda kuja mpaka Samaria, akalizingira+ kwa miaka mitatu.

  • 2 Wafalme 19:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Tazama! Wewe mwenyewe umesikia yale ambayo wafalme wa Ashuru walizitendea nchi zote kwa kuziangamiza;+ na je, wewe mwenyewe utakombolewa?+

  • Isaya 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na kana kwamba ni kiota, mkono wangu+ utafikia mali+ za vikundi vya watu; na kama mtu anapokusanya mayai ambayo yamebaki, ndivyo nitakavyoikusanya hata dunia yote, na hakika hakuna yeyote atakayetikisa mabawa yake wala kufungua kinywa chake wala kunong’oneza.’”

  • Isaya 37:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Je, miungu+ ya mataifa ambayo mababu zangu waliharibu imeyakomboa,+ naam, Gozani+ na Harani+ na Resefu na wana wa Edeni+ waliokuwa katika Tel-asari?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki