- 
	                        
            
            Habakuki 2:5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
5 Na, kwa kweli, kwa sababu divai inatenda kwa hila,+ mwanamume anajidai;+ naye hatafikia mradi wake,+ yeye ambaye ameifanya nafsi yake iwe na nafasi kubwa kama Kaburi,* na aliye kama kifo, asiyeweza kutoshelezwa.+ Naye huendelea kujikusanyia kwake mataifa yote na kujikusanyia kwake vikundi vyote vya watu.+
 
 -