Habakuki 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa kweli, kwa sababu divai ina hila,Mtu mwenye kiburi hatatimiza lengo lake. Hufanya hamu* yake iwe kubwa kama Kaburi;*Yeye ni kama kifo na hawezi kutoshelezwa. Huendelea kuyakusanya mataifa yoteNa kujikusanyia watu wa mataifa yote.+ Habakuki Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 2:5 w07 11/15 10; w00 2/1 15-16 Habakuki Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:5 Mnara wa Mlinzi,11/15/2007, uku. 102/1/2000, kur. 15-165/15/1989, uku. 25
5 Kwa kweli, kwa sababu divai ina hila,Mtu mwenye kiburi hatatimiza lengo lake. Hufanya hamu* yake iwe kubwa kama Kaburi;*Yeye ni kama kifo na hawezi kutoshelezwa. Huendelea kuyakusanya mataifa yoteNa kujikusanyia watu wa mataifa yote.+