Esta 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 naye Hamani akawatangazia utukufu wa utajiri+ wake na hesabu kubwa ya wanawe+ na kila kitu ambacho mfalme alikuwa amemtukuza nacho na jinsi alivyokuwa amemwinua juu ya wakuu na watumishi wa mfalme.+ Zaburi 62:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Msitegemee upunjaji,+Wala kuwa ubatili kwa sababu ya unyang’anyi mtupu.+Mali ikiongezeka, msiiweke moyoni.+ Methali 11:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Anayetegemea utajiri wake—yeye mwenyewe ataanguka;+ lakini waadilifu watasitawi kama majani.+
11 naye Hamani akawatangazia utukufu wa utajiri+ wake na hesabu kubwa ya wanawe+ na kila kitu ambacho mfalme alikuwa amemtukuza nacho na jinsi alivyokuwa amemwinua juu ya wakuu na watumishi wa mfalme.+
10 Msitegemee upunjaji,+Wala kuwa ubatili kwa sababu ya unyang’anyi mtupu.+Mali ikiongezeka, msiiweke moyoni.+