Esta 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Baada ya mambo hayo Mfalme Ahasuero alimtukuza Hamani+ mwana wa Hamedatha Mwagagi,+ akamwinua+ na kukiweka kiti chake juu ya wakuu wengine wote waliokuwa pamoja naye.+ Zaburi 37:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Nimemwona mwovu akiwa mwonevu+Na akijitandaza kama mti wenye majani mengi katika udongo wa asili.+
3 Baada ya mambo hayo Mfalme Ahasuero alimtukuza Hamani+ mwana wa Hamedatha Mwagagi,+ akamwinua+ na kukiweka kiti chake juu ya wakuu wengine wote waliokuwa pamoja naye.+
35 Nimemwona mwovu akiwa mwonevu+Na akijitandaza kama mti wenye majani mengi katika udongo wa asili.+