Mwanzo 34:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na riziki yao yote na watoto wao wote waliokuwa wadogo na wake zao wakawachukua mateka, hivi kwamba wakapora vyote vilivyokuwa katika nyumba hizo.+ Isaya 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 kwa maana kabla mvulana huyo hajajua jinsi ya kuita,+ ‘Baba yangu!’ na ‘Mama yangu!’ mtu fulani atachukulia mbali mali za Damasko na nyara za Samaria mbele ya mfalme wa Ashuru.”+
29 Na riziki yao yote na watoto wao wote waliokuwa wadogo na wake zao wakawachukua mateka, hivi kwamba wakapora vyote vilivyokuwa katika nyumba hizo.+
4 kwa maana kabla mvulana huyo hajajua jinsi ya kuita,+ ‘Baba yangu!’ na ‘Mama yangu!’ mtu fulani atachukulia mbali mali za Damasko na nyara za Samaria mbele ya mfalme wa Ashuru.”+