16 Wakati huo ndipo Menahemu alipopiga Tifsa na vyote vilivyokuwa ndani yake na eneo lake kutoka Tirsa, kwa sababu haukufunguliwa, naye akaupiga. Akapasua wanawake wote wenye mimba+ wa eneo hilo.
13 “Yehova amesema hivi, ‘ “Kwa sababu ya maasi matatu ya wana wa Amoni,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia,+ kwa sababu waliwapasua wanawake wenye mimba wa Gileadi, kwa kusudi la kupanua eneo lao wenyewe.+