Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 15:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 kwa maana uasi+ ni sawa na dhambi ya uaguzi,+ na kwenda kwa kimbelembele ni sawa na kutumia nguvu za uchawi na terafimu.+ Kwa kuwa umelikataa neno la Yehova,+ basi yeye pia amekukataa wewe usiwe mfalme.”+

  • Zaburi 5:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hakika Mungu atawahesabia hatia;+

      Wataanguka kwa sababu ya mashauri yao wenyewe.+

      Na watawanywe katika wingi wa makosa yao,+

      Kwa sababu wamekuasi wewe.+

  • Ezekieli 20:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “ ‘ “Na hao wana wakaanza kuniasi.+ Hawakutembea katika sheria zangu, nayo maamuzi yangu ya hukumu hawakuendelea kuyashika kwa kuyafanya, ambayo, kama mtu akiendelea kuyafanya, ataendelea pia kuishi kwa hayo.+ Sabato zangu walizitia unajisi.+ Kwa hiyo nikaahidi kumwaga ghadhabu yangu juu yao, ili kuitimiliza hasira yangu juu yao nyikani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki