2 Wafalme 17:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo Yehova akakasirikia+ Israeli sana, hivi kwamba akawaondoa machoni pake.+ Hakuacha yeyote abaki isipokuwa kabila la Yuda peke yake.+ Amosi 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “ ‘Litangazeni kwenye minara ya makao katika Ashdodi na juu ya minara ya makao ya nchi ya Misri,+ na kusema: “Kusanyikeni pamoja juu ya milima ya Samaria,+ mwone machafuko mengi yaliyo katikati yake na visa vya upunjaji vilivyo ndani yake.+
18 Kwa hiyo Yehova akakasirikia+ Israeli sana, hivi kwamba akawaondoa machoni pake.+ Hakuacha yeyote abaki isipokuwa kabila la Yuda peke yake.+
9 “ ‘Litangazeni kwenye minara ya makao katika Ashdodi na juu ya minara ya makao ya nchi ya Misri,+ na kusema: “Kusanyikeni pamoja juu ya milima ya Samaria,+ mwone machafuko mengi yaliyo katikati yake na visa vya upunjaji vilivyo ndani yake.+