7“Wakati ninapotaka kuponya Israeli,+ ndipo kosa la Efraimu pia hufunuliwa,+ na mambo mabaya ya Samaria;+ kwa maana wamezoea kusema uwongo,+ na mwizi huingia ndani; kikundi cha waporaji hushambulia ghafula upande wa nje.+
4“Lisikieni neno hili, ninyi ng’ombe za Bashani,+ mlio juu ya mlima wa Samaria,+ mnaopunja watu wa hali ya chini,+ mnaoponda walio maskini, mnaowaambia mabwana zenu, ‘Leteni, tunywe!’