Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na watu hakika watalijua,+ wote, Efraimu na mkaaji wa Samaria,+ kwa sababu ya majivuno yao na kwa sababu ya dharau lao la moyo kwa kusema:+

  • Hosea 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Wakati ninapotaka kuponya Israeli,+ ndipo kosa la Efraimu pia hufunuliwa,+ na mambo mabaya ya Samaria;+ kwa maana wamezoea kusema uwongo,+ na mwizi huingia ndani; kikundi cha waporaji hushambulia ghafula upande wa nje.+

  • Amosi 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Lisikieni neno hili, ninyi ng’ombe za Bashani,+ mlio juu ya mlima wa Samaria,+ mnaopunja watu wa hali ya chini,+ mnaoponda walio maskini, mnaowaambia mabwana zenu, ‘Leteni, tunywe!’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki