46 “ ‘Na dada yako mkubwa ni Samaria+ pamoja na miji yake ya kandokando,+ anayekaa upande wako wa kushoto, na dada yako aliye mdogo wako, anayekaa upande wako wa kuume, ni Sodoma+ pamoja na miji yake ya kandokando.+
14 wale wanaoapa kwa hatia ya Samaria,+ na ambao husema: “Kama anavyoishi mungu wako, Ee Dani!”+ na, “Kama inavyoishi njia ya Beer-sheba!”+ Nao wataanguka, wala hawatasimama tena.’ ”+
5 “Ni kwa sababu ya maasi ya Yakobo kwamba kuna hayo yote, kwa sababu ya dhambi za nyumba ya Israeli.+ Maasi ya Yakobo ni nini? Je, si Samaria?+ Ni mahali gani pa juu pa Yuda?+ Je, si Yerusalemu?