Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 16:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 “ ‘Na dada yako mkubwa ni Samaria+ pamoja na miji yake ya kandokando,+ anayekaa upande wako wa kushoto, na dada yako aliye mdogo wako, anayekaa upande wako wa kuume, ni Sodoma+ pamoja na miji yake ya kandokando.+

  • Amosi 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 wale wanaoapa kwa hatia ya Samaria,+ na ambao husema: “Kama anavyoishi mungu wako, Ee Dani!”+ na, “Kama inavyoishi njia ya Beer-sheba!”+ Nao wataanguka, wala hawatasimama tena.’ ”+

  • Mika 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Ni kwa sababu ya maasi ya Yakobo kwamba kuna hayo yote, kwa sababu ya dhambi za nyumba ya Israeli.+ Maasi ya Yakobo ni nini? Je, si Samaria?+ Ni mahali gani pa juu pa Yuda?+ Je, si Yerusalemu?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki