2 Wafalme 17:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na ikawa kwamba kwa sababu wana wa Israeli walimtendea dhambi+ Yehova, Mungu wao, aliyewapandisha kutoka katika nchi ya Misri kutoka chini ya mkono wa Farao mfalme wa Misri,+ nao wakaanza kuogopa miungu mingine;+ Yeremia 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Je, hilo silo jambo ulilojifanyia mwenyewe kwa kumwacha Yehova Mungu+ wako wakati alipokuwa akikutembeza njiani?+
7 Na ikawa kwamba kwa sababu wana wa Israeli walimtendea dhambi+ Yehova, Mungu wao, aliyewapandisha kutoka katika nchi ya Misri kutoka chini ya mkono wa Farao mfalme wa Misri,+ nao wakaanza kuogopa miungu mingine;+
17 Je, hilo silo jambo ulilojifanyia mwenyewe kwa kumwacha Yehova Mungu+ wako wakati alipokuwa akikutembeza njiani?+