Kumbukumbu la Torati 32:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Alimpata katika nchi ya nyika,+Na katika jangwa tupu, lenye kulia.+Alianza kumzunguka,+ kumtunza,+Kumlinda kama mboni ya jicho lake.+ Zaburi 77:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Umewaongoza watu wako kama kundi,+Kwa mkono wa Musa na Haruni.+ Zaburi 78:54 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 54 Naye akawaleta katika eneo lake takatifu,+Eneo hili lenye milima ambalo mkono wake wa kuume ulijipatia.+ Zaburi 136:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yule anayetembeza watu wake kupita nyikani:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+ Isaya 63:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yeye aliyewatembeza kupitia katikati ya maji yenye kututumuka hivi kwamba, kama farasi nyikani, hawakujikwaa?+
10 Alimpata katika nchi ya nyika,+Na katika jangwa tupu, lenye kulia.+Alianza kumzunguka,+ kumtunza,+Kumlinda kama mboni ya jicho lake.+
54 Naye akawaleta katika eneo lake takatifu,+Eneo hili lenye milima ambalo mkono wake wa kuume ulijipatia.+
16 Yule anayetembeza watu wake kupita nyikani:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
13 Yeye aliyewatembeza kupitia katikati ya maji yenye kututumuka hivi kwamba, kama farasi nyikani, hawakujikwaa?+