Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Alimpata katika nchi ya nyika,+

      Na katika jangwa tupu, lenye kulia.+

      Alianza kumzunguka,+ kumtunza,+

      Kumlinda kama mboni ya jicho lake.+

  • Zaburi 77:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Umewaongoza watu wako kama kundi,+

      Kwa mkono wa Musa na Haruni.+

  • Zaburi 78:54
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 54 Naye akawaleta katika eneo lake takatifu,+

      Eneo hili lenye milima ambalo mkono wake wa kuume ulijipatia.+

  • Zaburi 136:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Yule anayetembeza watu wake kupita nyikani:+

      Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+

  • Isaya 63:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Yeye aliyewatembeza kupitia katikati ya maji yenye kututumuka hivi kwamba, kama farasi nyikani, hawakujikwaa?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki