18 Basi Mungu akawafanya watu wazunguke kupitia njia ya nyika ya Bahari Nyekundu.+ Hata hivyo wana wa Israeli walitoka nchini Misri wakiwa wamejipanga kivita.+
22 Baadaye Musa akaondoa Israeli kutoka katika Bahari Nyekundu nao wakaenda katika nyika ya Shuri+ na kupiga mwendo kwa siku tatu nyikani, lakini hawakupata maji.+
2 Nawe uikumbuke njia yote ambayo Yehova Mungu wako alikutembeza miaka hii 40 nyikani,+ ili kukunyenyekeza,+ kukujaribu+ apate kujua yaliyokuwa moyoni mwako,+ iwapo utashika amri zake au hapana.
15 aliyekutembeza katika ile nyika kubwa na yenye kuogopesha,+ iliyo na nyoka wenye sumu+ na nge na nchi kame ambayo haina maji; ambaye alikutolea maji katika jiwe gumu;+