Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 13:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Basi Mungu akawafanya watu wazunguke kupitia njia ya nyika ya Bahari Nyekundu.+ Hata hivyo wana wa Israeli walitoka nchini Misri wakiwa wamejipanga kivita.+

  • Kutoka 15:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Baadaye Musa akaondoa Israeli kutoka katika Bahari Nyekundu nao wakaenda katika nyika ya Shuri+ na kupiga mwendo kwa siku tatu nyikani, lakini hawakupata maji.+

  • Kumbukumbu la Torati 8:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nawe uikumbuke njia yote ambayo Yehova Mungu wako alikutembeza miaka hii 40 nyikani,+ ili kukunyenyekeza,+ kukujaribu+ apate kujua yaliyokuwa moyoni mwako,+ iwapo utashika amri zake au hapana.

  • Kumbukumbu la Torati 8:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 aliyekutembeza katika ile nyika kubwa na yenye kuogopesha,+ iliyo na nyoka wenye sumu+ na nge na nchi kame ambayo haina maji; ambaye alikutolea maji katika jiwe gumu;+

  • Nehemia 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nawe ukawaongoza kwa nguzo ya wingu wakati wa mchana,+ na kwa nguzo ya moto wakati wa usiku,+ ili kuwaangazia+ njia wanayopaswa kuipitia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki