4 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Tazama, nitawanyeshea mkate kutoka mbinguni;+ nao watu watatoka nje na kuokota kila mtu kiasi chake siku baada ya siku,+ ili nipate kuwajaribu iwapo watatembea katika sheria yangu au hapana.+
20 Basi Musa akawaambia watu: “Msiogope, kwa sababu Mungu wa kweli amekuja ili kuwatia ninyi katika jaribu,+ na ili kumwogopa yeye, kuendelee kuwa mbele ya nyuso zenu ili ninyi msije mkatenda dhambi.”+