14 “Na sasa mwogopeni Yehova+ na kumtumikia kwa njia isiyo na kosa na katika kweli,+ nanyi ondoeni miungu ambayo mababu zenu waliitumikia ng’ambo ile nyingine ya Mto na katika Misri,+ mkamtumikie Yehova.
13 Yehova wa majeshi—yeye Ndiye mnayepaswa kuona kuwa mtakatifu,+ naye ndiye anayepaswa kuwa kitu cha kuogopwa nanyi,+ na Yeye ndiye anayepaswa kuwatetemesha ninyi.”+