7 Kwa hiyo hawapaswi tena kutoa dhabihu zao kwa wale roho waovu wenye umbo la mbuzi+ wanaofanya uasherati+ pamoja nao. Hiyo itakuwa sheria kwenu mpaka wakati usio na kipimo, katika vizazi vyenu vyote.”’
8 Na ukahaba wake uliotoka Misri hakuuacha, kwa maana walikuwa wamelala naye wakati wa ujana wake, nao ndio waliokuwa wamebana vifua vya ubikira wake nao waliendelea kumimina juu yake uasherati wao.+