Mwanzo 17:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Abramu alipokuwa na umri wa miaka 99, Yehova akamtokea Abramu na kumwambia:+ “Mimi ni Mungu Mweza-Yote.+ Tembea mbele zangu nawe ujionyeshe kuwa huna kosa.+ Kumbukumbu la Torati 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Utajionyesha kuwa huna kosa kwa Yehova Mungu wako.+ Zaburi 119:80 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 80 Moyo wangu uwe hauna kosa katika masharti yako,+Ili nisione aibu.+ Yohana 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mungu ni Roho,+ na wale wanaomwabudu lazima wamwabudu kwa roho na kweli.”+
17 Abramu alipokuwa na umri wa miaka 99, Yehova akamtokea Abramu na kumwambia:+ “Mimi ni Mungu Mweza-Yote.+ Tembea mbele zangu nawe ujionyeshe kuwa huna kosa.+