16 “Leo Yehova Mungu wako anakuamuru utimize haya masharti na maamuzi ya hukumu;+ nawe utazishika na kuzitimiza kwa moyo+ wako wote na nafsi yako yote.+
58 ili aelekeze moyo wetu+ kwake ili tutembee katika njia zake zote+ na kushika amri+ zake na masharti+ yake na maamuzi yake ya hukumu,+ ambayo aliwaamuru mababu zetu.