Kumbukumbu la Torati 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na maneno haya ninayokuamuru leo lazima yawe moyoni mwako;+ Zaburi 78:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na kwamba wao watie uhakika wao katika Mungu+Nao wasisahau matendo ya Mungu+ bali washike amri zake.+ Zaburi 119:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Unifanye nielewe, ili nipate kuishika sheria yako+Nami nipate kuishika kwa moyo wote.+ 1 Yohana 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana kumpenda+ Mungu humaanisha hivi, kwamba tuzishike amri zake;+ na bado amri zake si mzigo mzito,+
7 Na kwamba wao watie uhakika wao katika Mungu+Nao wasisahau matendo ya Mungu+ bali washike amri zake.+
3 Kwa maana kumpenda+ Mungu humaanisha hivi, kwamba tuzishike amri zake;+ na bado amri zake si mzigo mzito,+