4“Na sasa, Ee Israeli, sikilizeni masharti na maamuzi ya hukumu ninayowafundisha ninyi kufanya, ili mpate kuishi+ na kwa kweli mpate kuingia na kuimiliki nchi ambayo Yehova Mungu wa mababu zenu anawapa ninyi.
12 “Kwa habari ya nyumba hii unayojenga, kama ukitembea katika sheria+ zangu na kutenda maamuzi yangu ya hukumu+ na kushika amri zangu zote kwa kutembea ndani yake,+ mimi pia hakika nitakutimizia neno nililomwambia Daudi baba yako;+