2 Samweli 7:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili ya jina langu,+ nami hakika nitakifanya imara kiti cha ufalme wake mpaka wakati usio na kipimo.+ 1 Mambo ya Nyakati 22:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Tazama! Utazaa mwana.+ Yeye atakuwa mtu mtulivu, nami nitampa pumziko kutoka kwa adui zake wote pande zote;+ kwa maana jina lake litakuwa Sulemani,+ nami nitaleta juu ya Israeli amani+ na utulivu katika siku zake.
13 Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili ya jina langu,+ nami hakika nitakifanya imara kiti cha ufalme wake mpaka wakati usio na kipimo.+
9 Tazama! Utazaa mwana.+ Yeye atakuwa mtu mtulivu, nami nitampa pumziko kutoka kwa adui zake wote pande zote;+ kwa maana jina lake litakuwa Sulemani,+ nami nitaleta juu ya Israeli amani+ na utulivu katika siku zake.