Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 12:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mkimwogopa+ Yehova na kumtumikia+ na kuitii sauti yake+ kwelikweli, nanyi msipoliasi+ agizo la Yehova, ninyi pamoja na mfalme atakayetawala juu yenu mtakuwa wafuasi wa Yehova, Mungu wenu.

  • 1 Wafalme 8:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na sasa, Ee Yehova Mungu wa Israeli, umtimizie mtumishi wako Daudi baba yangu yale uliyomwahidi, ukisema, ‘Mwanamume wa kwako hatakatiliwa mbali mbele zangu asiketi juu ya kiti cha ufalme cha Israeli,+ ikiwa tu wana wako wataangalia njia yao kwa kutembea mbele zangu kama vile ambavyo wewe umetembea mbele zangu.’

  • 1 Mambo ya Nyakati 28:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Nawe, Sulemani mwanangu, mjue+ Mungu wa baba yako, umtumikie+ kwa moyo kamili+ na kwa nafsi yenye shangwe;+ kwa maana Yehova anaichunguza mioyo yote,+ naye anatambua kila mwelekeo wa fikira.+ Ukimtafuta, ataacha umpate;+ lakini ukimwacha,+ atakutupa mbali milele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki